
Linah alitoa kauli hiyo juzi kati baada ya kuulizwa na paparazi wetu juu ya tetesi kwamba sasa hivi anatoka na kijana anayefahamika kwa jina la Nick wa Pili ambapo kuweka mambo sawa alisema:
“Sijui nisemeje maana hizo habari siyo za kweli, mimi kwa sasa sina mtu yeyote niko singo na wala sina mpango wa kuwa na mpenzi, nimeamua kufanya kwanza kazi zangu za muziki zaidi.”
Linah alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake, Amini Mwinyimkuu kabla ya hivi karibuni kutosana.
No comments:
Post a Comment