Inakimbizaaaaa


Monday, October 12, 2009

UNAMJUA FINA MANGO ALIWAHI KUWA MTANGAZAJI WA CLOUDS FM


Fina Mango nilianza kumsikia Muda Mrefu sana Jamani sana,Sauti yake,alivyokuwa anacheka na kila kitu chake,was Inspired sana na huyu mdada tho sijawahi Pata nafasi ya kuongea nae ila Na mkubali sana wish arudi katika Airwaves tuendelee kumsikiliza..was Enjoying her much..she is good,really Good!!nilikuwa naamka asubuhi kusikiliza Powerbreakfast yake na Masoud na nilikuwa sikosi kabisaaa...amebarikiwa sauti na ujuzi wa kuyapanga maneno na kuzungumza kwa pose,aliniua ile siku aliyo mu interview Jay Z alivyokuja Tzee na Kujiita Mohamed Hovee..that was the best interview ya simu ambayo sijawahi tena isikia mpaka leo..natamani nimuone tu nimpe mkono!!aniambukize yale ma Diamond na ma tanzanite yake!!
hahaha!!

1 comment:

Drley8 said...

Oohh yes this lady is one of the kinda...


counters