Inakimbizaaaaa


Friday, January 31, 2014

SHOW YA DIAMOND KENYA-WANANDOA WAKIJIACHIA NA DIAMOND JUKWAANI,KUNA KESI HAPO???


Ishu nzima ilihapeni wikend iliyopita,nchini Kenya wakati mkali wa bongo fleva,Diamond alipopiga show kwenye event ya safaricom
wanandoa hawa kila mmoja kwa wakati wake alipandwea na mizuka na kupanda stejini akafanya mbwembwe zake kama picha zinavyojieleza
,kibongo bongo kama angefanya kituko mmoja nyumbani ingekuwa kesi kuwa kamuaibisha.Sasa jiulize kuna kesi hapo?ama wote walirudi nyumbani na kupongezana????

No comments:


counters