Inakimbizaaaaa


Friday, January 31, 2014

OMMY DIMPOZ AFUNGUKA SABABU YA VIDEO YA TUPOGO KUTO FANYIKA MPAKA LEO

 Bongo Flava artist Ommy Dimpoz amefunguka sababu ya ngoma yake ya tupogo kutofanyiwa video mpaka leo licha ya kuwa ni moja kati ya collabo kubwa kuwahi kufanywa kati ya msanii wa bongo na msanii mkubwa hot in afrika, coz aliifanya na J Martins,kama zilivyo ngoma zote za Ommy Dimpoz kuwa zinafanyaga vizuri hata tupogo haikupata shida kutop up hadi nafasi ya kwanza kwenye chat mbalimbali ikiwemo Clouds Fm Top 20, wengi tulitegemea video yake ingefanyika fasta, na pengine ingemuweka ktk ramani ya muziki wa Afrika, angeonekana kama sasa Diamond anavyofanya vizuri zaidi baada ya collabo yake na Davido.

No comments:


counters