Kombe la dunia Ramani ya ziara kamili ya kombe hilo Ndege aina ya Boeing 737 inayosafirisha kombe hilo SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa ziara ya Kombe la Dunia kwa nchi za Afrika inaendelea vizuri na kwamba hakuna matatizo yoyote yaliyotokea tangu kuzinduliwa kwake nchini Uswiss na kuanza ziara katika bara hilo nchini Misri...
No comments:
Post a Comment