Inakimbizaaaaa


Thursday, October 8, 2009

BONGO STAR SEARCH KUFANYIKA JUMANNE WIKI IJAO

Mkurugenzi wa Benchmark Production Madame Rita Paulson(katikati)akiongea na waandishi wa habari juu ya kutangaza zawadi kwa washindi wa Bongo Star search(BSS)(kushoto)Brand Manager wa Kilimanjaro George Kavishe(kulia)Meneja Udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna.Mashindano haya yatafanyika Diamond Jubilee Jumanne ijayo.
Baadhi ya washiriki walioingia katika kinyanganyiro cha kumpata mshindi wa Bongo Star Search (BSS)wakiwa wanaimba mbele ya waandishi wa habari kuonyesha vipaji vyao kabla ya shindano lao la mwisho litakalofanyika Diamond Jubilee Jumanne ijayo.Vodacom ndiyo wadhamini wakuu wa shindano hilo.

No comments:


counters