Inakimbizaaaaa


Thursday, October 8, 2009

BIG BROTHER YAZIDI KUPAMBA MOTO






Baada ya mshiriki wa tanzania kwenye shindano la Bigbrother Africa kuwepo kwenye dangerzone na ikiwa ni siku ya 32 unachotakiwa ni kumpigia kura Elizabeth ili aelendelee kubaki kwenye shindano hilo na kunyakua dola za kimarekani laki mbili

No comments:


counters