Adam Mchomvu mtangazaji wa kipindi cha XXL sasa ameanza kushika Camera ya Video, naona labda anafanya mazoezi kabla ya Kituo cha televisheni cha mjengoni hakijaanza ili aweze kukamata Dimba la kupiga Picha hongera kaka hapa anaonekanaakimuelekeza kitu mtangazaji mwenzie Rommy J. hapo mjengoni wa kipindi cha The Blog
Waigizaji maarufu nchini Kanumba na Aunt wakifanya vibweka mbele ya Camera ya Kamanda mshika Camera wa FULLSHANGWE hebu wacheki mdau.
No comments:
Post a Comment