Inakimbizaaaaa


Friday, August 21, 2009

POWER BREAKFAST YAWAPA BURUDANI YA KUKATA NA SHOKA WADAU

Adam Mchomvu mtangazaji wa kipindi cha XXL sasa ameanza kushika Camera ya Video, naona labda anafanya mazoezi kabla ya Kituo cha televisheni cha mjengoni hakijaanza ili aweze kukamata Dimba la kupiga Picha hongera kaka hapa anaonekanaakimuelekeza kitu mtangazaji mwenzie Rommy J. hapo mjengoni wa kipindi cha The Blog


Waigizaji maarufu nchini Kanumba na Aunt wakifanya vibweka mbele ya Camera ya Kamanda mshika Camera wa FULLSHANGWE hebu wacheki mdau.

No comments:


counters