Inakimbizaaaaa


Friday, September 4, 2009

HEBU TOA MAWAZO YAKO KUHUSU PICHA HIZI

NI NINI AY KAMAKAWA

Thursday, September 3, 2009

DOKII AIBUKA KWENYE FILAMU NA KUTESA TENA KATIKA BAD FRIEND
Wengi walikuwa walimtambua na wanaendelea kumtambua kwa jina la Dokii hasa kwa umahiri na umaarufu wake alokuwa nao katika fani ya uigizaji,kama mtakuwa mnakumbuka vyema alikuwa akiigiza katika mchezo wa mambo hayo kilichokuwa kinarushwa na telvisheni ya ITV wakati ule,Dokii akapotea kiasi na kujikita kwenye anga ya muziki wa injili kwa muda.Kwa sasa amerejea kwa kasi mpya katika fani yake ya ugizaji,kuhakikisha kuwa kipaji chake cha uigizaji bado kiko pale pale Dokii ameibuka kwenye filamu ambayo inatarajia kutoka hivi karibuni iitwayo Bad Friends,humo ameonesha umahiri wake mkubwa katika kuucheza uhusika wake sawia.
Eritrea yawataja warembo wake wataoshiriki miss east africa 2009
Selamawit Zerabruck Ghebreslassie
Date of Birth 19-08-1991
Height 172
Hobbes reading, Traveling, movies

Sefora Messele Ghebreezgabiheir
Date of Birth 19-09-1991
Height 180Hobbies swimming, reading

Eritrea imekuwa nchi ya kwanza kutangaza warembo wake katika mashindano ya kimataifa ya urwembo ya Miss East Africa mwaka huu yatayofanyika December 18, 2009 jijini Dar. Warembo hao walipatikana katika mashindano ya kuvutia ya urembo yaliyofanyika jijini Asmara Nchini humo hivi karibuni.

Warembo watakaoiwakilisha Eritrea katika mashindano ya mwaka huu niSelamawit Zerabruck Ghebreslassie na Mesele Ghebreezgabiheir.Mwaka jana Nchi ya Eritrea pia ilikuwa ya kwanza kutangaza wawakilishi wake katika mashindano ya Miss East Africa 2008 yaliyofanyika jijini Bujumbura, Burundi ambapo iliwakilishwa na warembo Rahwa Ghebrehiwet pamoja ya Menal Hussien ambapo Rahwa Ghebrehiwet alifanikiwa kuibuka mshindi wa tatu.

Mashindano ya kimataifa ya urembo ya Miss East Africa huandaliwa na kampuni ya Rena Events Ltd ya jijini Dar.Nchi 14 za ukanda wa Afrika mashariki tayari zimeshathibitisha kushiriki katika mashindano ya mwaka huu ambazo ni wenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zingine ni Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Somalia, visiwa vya Seychelles, Re union, Madagascar, Comoros na Mauritius.

Wakati huohuo ile bahati nasibu ya Miss East Africa ya kuchangia yatima ambapo mshindi wa kwanza atajishindia gari jipya aina ya Range Rover sport inaendelea na watu wote wameombwa kushiriki bahati nasibu hiyo.
“Tunawaomba watu wote washiriki kwa kuandika neno SHINDA kwa kutumia simu zao za mkononi na kutuma kwa sms kwenda namba 15567 ili waweze kujishindia zawadi mbalimbali na wakati huohuo wakichangia yatima wa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla”

Imeandaliwa na kusainiwa naRena Callist,
CHAIRMAN,MISS EAST AFRICA BEAUTY PAGEANT.

Wednesday, September 2, 2009

african-musicians-battle-it-out-for the 2009 MTV MUZIKI AWARD WITH ZAINAY na Shaa safari hii ni moja kati ya wasanii watakaotuwakilisha kwenye tuzo za MTV Africa Music Awards, fuatilia maelezo haya ili kujua zaidi.
SINA UJAUZITO WA MARLAW ..... BESTA
msanii besta na marima laurance (marlaw) wamekana tetesi zinazoendelea kuwa wanauhusiano wa kimapenzi na kuwa besta anaujauzito wa msanii huyo.
nimeongea na besta na haya ndio aliyoyasema "sio kweli jamani mi sina ujauzito niko kawaida kabisa na marlaw mi ni rafiki yangu tu wa karibu, na wala sina mahusiano ya kimapenzi nae mi nna wangu nae anawake" amesema besta

wakati marlaw pia amekana tuhuma hizo na kusema "hizo habari nimeziskia mda tu lakini hazina ukweli, besta mi ni rafiki yangu saaaaaana na ni jirani yangu lakini sina uhusiano nae. natamani hata umuite sasa hivi uhakikishe kama ana mimba maana hii kuongea kwenye sim inaweza ikawa sio baadae mkaona kama kaitoa .
LABOUR DAY WEEKEND MJINI WASHNGTON DC
LABOR BAY WEEK END WASHINGTON DC
KAMPUNI YA DMK IKISHIRIKIANA NA DMV INTERNATIONAL COMMUNITY WANA WALETEA LABOR DAY WEEK END KAMA IFUATAVYO
**FRIDAY/ IJUMAA SEPT 4 - PARTY WITH THE BEST VIP STYLE- @ CLUB- OZIO V I P LOUNGE-1813 M ST,NW.DC, 4 FLOORS OF ENTERTAINMENT

**SATURDAY/J MOSI SEPT 5 - HII NDIO MAIN EVENT-LADIES FREE B4 12,FELLAS HALF OFF B4 12 @ CLUB- GALLERY LOUNGE S.SPRING DOWN TOWN-1115 EAST WEST HIGH WAY,S.SPRNG,MD

THE BEST DJS FROM 95.5WPGC,93.9WKYS,GUEST INTERNATIONAL DJS MATAIFA YOTE YATAKUWA HAPA-LABOR DAY MAYHEM INTERNATIONAL STYLE.

ALSO SURPRISE LIVE PERFORMANCE- HIS NEW SINGLE INAYOTAMBA B.E.T
**SUNDAY/COOLDOWN-SEP 6-BYE BYE SUMMER WATER MELON STYLE @ULTRA BAR DC,911 F STREET,NW,DC-DJ ARMAGEDON,DJMAMUSH

THIS SUNDAY PARTY WITH ETHIOPIAN,ERITREA,RWANDA,BURUNDI-YES WE GOT THIS

DMK STYLE JUST ASK SOMEBODY.MAELEZO- 301-661-6207 / 202-321-0184 / WEB* WWW.DMKPRODUCTION.COM
malighafi ya clouds tv ikiandaliwa

Wana wa Clouds Tv wakiwa mzigoni wakiandaa malighafi kwa ajili ya kwenda hewani siku chache zijazo.
jitokeze mbele za watu,uonekane wa tofauti na shear illussions daima

cheki mambo hayo

si ya kitoto alafu ushindwe kupendeza watakucheka wenzio
NGOMA YA MFALME MSWATI WA III KUCHAGUA MKE USWAZI

wasichana hucheza na kuimba huku wakitegemea kuteuliwa na Mfalme
Mfalme Mswati III katika ngoma hiyo jana huko Mbabane
Kaka Michuzi,
nipo huku Swaziland na jana na leo tulikuwa tunashuhudia ngoma yenye mvuto wa kipekee kwa jamii ya Waswazi ya Reed Dance, ni tukio ambalo ufanyika kila mwaka mara moja katika kipindi kama hiki.
Ngoma hii inawahusisha wasichana wenye umri kuanzia miaka mitano mpaka 25, kipindi ambacho King Mswati upata fursa ya kupata mke mwengine. Kwa sasa ni mwaka wa tatu hajachagua mke wa kuona kutoka katika utaraibu wa kumpata kupitia ngoma hii,!
Kwa kweli Waswazi wanatumia kipindi hiki kama sehemu ya kupata mapato ya utalii kwa nchi yao kwani watu wa mataifa mbalimbali wamekuja hasa jamaa zetu kutoka China ndio wengi, Muhimu ninalojifunza kuwa hawa Wachina pamoja na kuja kama watalii lakini wamekwisha pata dili za kufanya kutokana na ngoma hii. naleta picha hizi chache nilipiga jana na za leo nitawatumia baadaye
Mdau wa muda hapa Swaziland


WASICHANA BIKRA TOKA KILA PEMBE YA USWAZI HUJITOKEZA

NI NGOMA KUTWA NZIMA

FURAHA NA VICHEKO

all right reserved by makii.blogspot.com
Wavulana husindikiza dada zao

counters