Inakimbizaaaaa


Friday, September 30, 2011

TUSKER ALL STARS YAZIDI KUPAMBA NAIROBI

Hawa ni wasanii watakao towa burudani ambapo amekosekanika msanii moja ni EVE (kutoka Marekani),ambaye anatalajia kufika nae katika tamasha la TUSKER ALL STARS 2011,Linalotalajiwa kufanyika kwenye viwanja vya Carnivo jijini Nairobi,Oktoba 1.

No comments:


counters