Inakimbizaaaaa


Thursday, October 29, 2009

FIESTA ONE LOVE NDANI YA DAR ES SALAAM


Mkali huyu kufanya kamuzi la nguvu ndani ya Tamasha la fiesta one love 2009,litakalofanyika Lidaz Club,kinondoni jijini Dar,mkali huyo ataambana na crew ya watu sita,kama mdau wa burudani umejipanga vipi ? kiiingilio sio issue sana kwani ukiwahi mapema utainunua kwa buku kumi tu,ukichelewa ndiyo hivyo tena kwa elfu kumi na tano kwa kichwa,changamka wewe ukajionee kamuzi la kufa mtu kutoka kwa mchizi wa ughaibuni,Wanajamvini nina haja kweli ya kumtaja jina? nambieni kama vipi nifanye hivyo ili twende sawa,halafu unajua nini kuna kidude cha kubofya bofya hivi kwa ajili ya fiesta,bofya link hiyo uone uhondo wake ulivyotulia.

No comments:


counters