Inakimbizaaaaa


Thursday, September 24, 2009

WAANDAAJI WA MAISHA PLUS WAKUMBWA NA TUHUMA YA KUPOKEA HONGO


waandaaji wa kipindi cha televishen kinachojulikana kama maisha plus wamekumbwa na tuhuma ya kupokea hongo kutoka kwa mshindi wa kipindi hicho. kutokana na gazeti la DAILY NEWS waandaaji hao walimtaka mshindi kuwapatia milioni 3 katika milioni 10 aliyoshinda. Mmoja wa waandaaji hao masood kipanya amesema tuhuma hizo hazina maana yoyote na sishangai kuskia hili hasa wakati huu ambapo maisha plus ndio inaongezeka umaarufu.tuhuma hizi zinatoka kwa maadui tu ambao wanataka kuniharibia sifa yangu amesema kipanya.lakini wameendela kusema kuwa waandaaji hao waitoa offa hiyo kwa washiriki wengine lakini walikataa.mshindi wa maisha plus mwaka huu anatarajiwa kupata shilingi million 15 tofauti na mwakajana.

No comments:


counters