
Kwa kipindi hicho chote basi amesema mashabiki wake wanaompenda wanaweza kuchukua simu zao za mkononi na kwenda sehemu ya sms na kuandika
BABAZ kwenda 15327 au NOORAH kwenda 15551.
Hapo wataweza kuwasiliana na yeye moja kwa moja kwenye simu yake ya mkononi na yeye atakuwa anawafahamisha habari mpya kuhusu maendeleo yake, it's means wao ndio watakuwa wa kwanza kujua before anyone
No comments:
Post a Comment