Inakimbizaaaaa


Monday, September 14, 2009

MUZIKI BASI MPAKA MWAKANI NIMALIZE SHULE (NOORAH)

Noorah aka The Babaz of The Mamaz amelonga na Bongo Star Link na kusema kwa sasa elimu kwake ikiwa imefikia mkiani kwa Ng'ombe, ameona awaambie mashabiki wake wawe na subira kidogo mpaka hapo mwakani mwezi wa 6.
Kwa kipindi hicho chote basi amesema mashabiki wake wanaompenda wanaweza kuchukua simu zao za mkononi na kwenda sehemu ya sms na kuandika

BABAZ kwenda 15327 au NOORAH kwenda 15551.

Hapo wataweza kuwasiliana na yeye moja kwa moja kwenye simu yake ya mkononi na yeye atakuwa anawafahamisha habari mpya kuhusu maendeleo yake, it's means wao ndio watakuwa wa kwanza kujua before anyone

No comments:


counters