Inakimbizaaaaa


Wednesday, September 23, 2009

Miss TZ & Talent show night ijumaa hii giraffe ocean view hotel


Warembo wa Miss TZ wakiwa katia uzi wa kutangaza utalii. Ijumaa September 25, 2009 watakuwa na Miss Tanzania Day & Talent Show night ambapo wadau wanakaribishwa Giraffe Ocean View hotel iliyopo Kunduchi kushuhudia warembo wakichuana katika shindano la vipaji mbalimbali walivyojaaliwa navyo kuanzia saa moja jioni. kiingilio ni alfu 40 kwa kichwa na mshindi wa shindano hilo atabeba laki 5 keshi.

No comments:


counters