Inakimbizaaaaa


Monday, September 14, 2009

INASADIKIKA KUWA MPAKANJIA AFARIKI DUNIA


Aliyekuwa mume wa marehemu Amina Chifupa,Mohamed Mpakanjia amefariki leo mnamo majira ya saa tisa ,jioni hii katika hospitali ya jeshi ya Lugalo,Inaelezwa kuwa Mpakanjia alikuwa amelazwa hospitalini hapo toka juzi akisumbuliwa na ugonjwa wa Neumonia.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi-AMEN

No comments:


counters