Inakimbizaaaaa


Friday, August 21, 2009

MKE WA RAISI WA MAREKANI ALIPOACHA GUMZO KWENYE VYOMBO VYA HABARI KWA KUVALIA KIKAPUTULA

Vyombo vingi vya habari vya Marekani vimekuwa vikijadili nguo anazovaa Michelle Obama kama zinafaa kuvaliwa na mke wa rais au la huku watu wengine wakitoa maoni kwamba Michelle ni mwanamke kama wanawake wengine hivyo ana haki ya kuvaa atakavyo.
Mdau KB.

No comments:


counters